HISA

  • Hisa Moja ni Tsh 10,000/=
  • Mwanachama anatakiwa kuwa na hisa zisizopungua 70
  • Mwanachama hataruhusiwa kumiliki hisa zaidi ya moja ya tano (1/5) yaani 20% ya hisa zote za chama.
  • Mwanachama haruhusiwi kupunguza hisa zake hadi kufikia chini ya hisa 70.
  • Mwanachama atapata gawio kila chama kinapopata faida kwa miaka mitatu mfululizo