1. MKOPO WA DHARURA

  • Kiwango cha juu ni Tshs.3,000,000
  • Malipo ndani ya miezi 9
  • Riba ni 2% kwa mwezi
  • Mkopo unatoka ndani ya siku moja

2. MKOPO WA NIPIGE TAFU

  • Kiwango cha juu ni Tshs.1,000,000
  • Malipo ndani ya miezi mitatu
  • Riba ni 3% kwa mwezi
  • Mkopo unatoka ndani ya siku moja

3. MKOPO WA ELIMU

  • Kiwango cha juu ni Tshs.5,000,000
  • Malipo ndani ya miezi kumi na mbili
  • Riba ni 1.25% kwa mwezi
  • Mkopo unatoka ndani ya siku moja

4. MKOPO WA BIMA

  • Kiwango cha juu ni Tshs.2,000,000
  • Malipo ndani ya miezi mitatu
  • Riba ni 1.5% kwa mwezi
  • Mkopo unatoka ndani ya siku moja

5. MKOPO WA LIKIZO

  • Kiwango cha juu ni Tshs.3,000,000
  • Malipo ndani ya miezi 12
  • Riba ni 2% kwa mwezi

6. MKOPO WA MAENDELEO

  • Kiwango cha juu ni Tshs.60,000,000
  • Malipo ndani ya miezi 60
  • Riba ni 1.08% kwa mwezi
  • Mkopo unatoka mara mbili kwa mwezi tarehe 15 na 1 kila mwezi

7. MIKOPO YA SIKUKUU

    (a) FESTIVAL (kwa wanachama wapya)

  • Kiwango tsh 1,500,000/=
  • Malipo ndani ya miezi 6
  • Riba ni 1.5%
  • Taslimu Tsh 600,000/= ,Hisa tsh 700,000/= Kiingilio tsh 20,000/= ada ya mkopo tsh 20,000/= akiba tsh 160,000/=

  (b) EASTER BOOSTER (wanachama)

  • Kiwango tsh 300,000/=
  • Malipo ndani ya miezi 3
  • Riba ni 1.5%

UTARATIBU WA KUPATA MKOPO

  • Kwa mikopo yote ya muda mfupi omba kupitia portal.crdbsaccos.co.tz
  • Kwa mkopo wa Maendeleo na Jiongeze loan jaza fomu ya mkopo husika kwa usahihi kisha wasilisha ofisi za SACCOS kupitia info@crdbsaccos.co.tz/saccoscrd@yahoo.com pia tuma fomu halisi kupitia sanduku la barua

CRDB SACCOS

S.L.P 268

DAR ES SALAAM